Na pia ninavyopiga guitar
Huwa napenda kukuona wewe ukiwa na furaha
Najua thamani na heshima yako we unanifaaa
Umenikamata we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Haki ya Mungu we ni mzuri
and nothing comes between us
Im gonna give you my love
And make them wanna be us
Huwa napenda kukuona wewe ukiwa na furaha aanh
Najua thamani na heshima yako we unanifaa
Umenikamata we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Umenikamta we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Wewe ni furaha yangu, Yangu
Unajua napenda kukuona wewe ukiwa na furaha
Najua thamani na heshima yako we ndo unanifaa
Umenikamata we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Umenikamata we umenikamata
Добавил: Frol4ic